AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beki wa Simba SC Ibrahim Amme Mohamed amefungiwa mechi tatu kucheza soka baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kumzuia muamuzi msaidizi kufanya kazi yake katika mchezo Gwambina 0-1 Simba SC, uliyochezwa April 24 2021 katika Uwanja wa Gwambina Misungwi jijini Mwanza.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK