Beki wa Simba SC afungiwa mechi tatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Beki wa Simba SC Ibrahim Amme Mohamed amefungiwa mechi tatu kucheza soka baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kumzuia muamuzi msaidizi kufanya kazi yake katika mchezo Gwambina 0-1 Simba SC, uliyochezwa April 24 2021 katika Uwanja wa Gwambina Misungwi jijini Mwanza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad