“Chama kikifukuza wanachama wao uamuzi wao uheshimiwe” Nape

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) amesema Demokrasia ni pamoja na kuheshimu Taasisi zinazounda Demokrasia ikiwemo Vyama vya Siasa.


Nape amesema “Sasa hivi kuna Wanachama wapo Bungeni wa CHADEMA lakini CHADEMA ilishawafukuza. Kwanini wapo Bungeni? Wanatakiwa wasiwepo. Tufuate Sheria”


Asema Mfumo wa Vyama vingi ulipokuja Katiba ilibadilishwa na Tume mbalimbali zilipendekeza namna ya kuendesha Vyama vingi ikiwemo Tume ya Jaji Nyalali.


Amesisitiza “Tumepitia Milima na mabonde kwenye Siasa hadi hapa tulipofikia. Wapo walioumia na Wengine kufurahi. Rais Samia katoa Uwanja wa Meza ya Mzungumzo. Kwakuwa yupo tayari kukaa meza moja, basi tusikatae mazungumzo”.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad