Muro Anasa Vijana Wawili Mtandao Wa Wizi Mifugo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





MTANDAO wa wizi wa mifugo umenaswa wilayani Arumeru baada ya vijana wawili ambao wanatajwa kuongoza mtandao huo kutiwa mbaroni.


Vijana hao wanadaiwa kuongoza uvunjaji wa mabanda na mazizi ya wananchi na kisha kuiba ng'ombe  na mbuzi na  kuchinja usiku ambapo alfajiri hupeleka nyama mabuchani.



Mtandao huo umenaswa baada ya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro kufanikiwa kuwadaka vijana hao wakiwa na pikipiki mbili wakitupa ngozi pamoja na kitoto kichanga cha ng'ombe kilichofia tumboni baada ya kuchuna ngozi.



Alisema ameamua kuendesha msako huo baada ya kuibuka malalamiko kutoka kwa wafugaji waliodai mifugo yao kuvamiwa nyakati za usiku na kwenda kusikojulikana.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad