Mwijaku: Nilimshauri Harmonize aache ushirikina awaachie wao amrudie Mungu mwezi mtukufu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Akiongea na wana habari Mwijaku ameeleza kuwa kuna kundi la watu wenye wivu na mafanikio ya Harmonize kila siku wanatafuta namna ya kutengeneza habari mbaya ili kumharibia mipango yake.

Ameongeza kuwa amemshauri Harmonize mwezi huu wa Ramadhani aache ushirikina amrudie Mungu kwa ajili ya maombi, huku akitanambaisha kuwa kwa sasa lebo za muziki Tanzania ni mbili tu @kondegang chini ya Harmonize na @kingsmusicrecords chini ya Alikiba zile zingine ni vikundi vya wahuni.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad