Wasanii Kuweka Maudhui Youtube Bila Kulipa Ada ya Leseni TCRA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wamekubaliana kubadilisha Kanuni ili wasanii na wenye maudhui ambayo sio Habari waweze kurusha kazi bila kufanya usajili na malipo kwa TCRA

Hayo yamebainishwa na Dkt. Hassan Abbasi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ambapo amesema kuna tofauti kubwa sana kati ya Habari na Sanaa, hivyo wataboresha kanuni

Amesema wasanii wanapaswa kufanya kazi zao bure, na kuanzia sasa wasanii wa muziki au filamu hawatalipia chaneli zao za YouTube


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad