AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesema kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake(UWT) Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalum Catherine Magige.
Kimesema kwamba CCM inaamini katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali, badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.
Taarifa iliyotolewa leo Mei 28,2021 na Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka imesema Chama hicho kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na Katiba ya CCM
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK