CCM yachukizwa na kitendo kilichofanywa na Catherine Magige, Wenzake Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesema kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa  Jumuiya ya Umoja wa Wanawake(UWT) Mkoa wa Arusha wakiongozwa na Mbunge wa Viti Maalum  Catherine Magige.

Kimesema kwamba CCM inaamini katika kujenga uimara wa familia, kuheshimiana ndani ya jamii na kuendeleza upendo katika familia halali, badala ya mivutano na uvurugaji usiokuwa na sababu.

Taarifa iliyotolewa leo Mei 28,2021 na Katibu wa Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka imesema Chama hicho kinatafakari kwa undani kwa mujibu wa kanuni za maadili na Katiba ya CCM

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad