Irene Uwoya acharuka,azungumza kwa ukali ‘Mimi ni mkorofi, iwe mwanzo na mwisho’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni Headlines za Mwigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Irene Uwoya ambae time hii ameonekana kuongea kwa ukali baada ya  jina lake kutumiwa vibaya na watu kwanjia ya kutapeli mashabiki zake.


‘Naomba niongee haraka haraka sana kuna watu wanakera tena wananikera sana tena wanahisi mimi ni mpole naomba wajue mimi ni mkorofi sana, nimechoka na tabia za watu kufanya utapeli kwa kutumia jina lako huko Facebook sijapenda nimechoka’– Irene Uwoya

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad