Yanga waugomea muda ulipangwa na TFF, sisi tutapeleka timu saa 11 na sio saa moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya mchezo wa Simba na Yanga kupelekwa mbele klabu ya Yanga imesikitishwa na taarifa hizo na kudai kwamba wao watapeleka timu muda wa mwanzo ambao ni saa 11 na sio saa moja kwani kanuni zinasema taarifa itolewa masaa 24 kabla ya mchezo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad