Zamaradi Ameandika Haya Kuhusu Rosa Ree baada ya kutazama nyimbo yake mpya ya Im Not Sorry:
Reposted from @zamaradimketema Katika Hazina kubwa Chache tulizonazo kwenye Industry ya Mziki nadhani hii ni MOJA KUBWA.... Creativity yako ni kubwa mno, Uwezo wako ni wa level nyingine kabsaaa, mdogo wangu I SALUTE YOU @rosa_ree nimeshindwa kuvumilia, kukusifia nyumanyuma itakuwa roho mbaya acha niseme wazi tu, na hii ni katika pitapita leo nimekutana na Intro ya ngoma yako ya I AM NOT SORRY, nikasema hebu niingie kwenye Bio yako niangalie.. nilichokutana nacho acha nikupe heshima yako, Wewe ni Level nyingine!!! SALUTE SALUTE SALUTE 🙌👊👊👊
VIDEO:
Tazama Wimbo Wenyewe Hapa:
----
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia BofyaHAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.