Amuua mke wake kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili, adakwa na polisi akitaka kujiua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma wanamshikilia Nehemia Mohamed Kabuto Muha miaka 40 amemuua mke wake kwa kumkata mpanga mke wake aitwaye Adela Ndihagati mwenye umri wa miaka 40 kwa kutenganisha kiwiliwili na viungo vingine.



Akiongea Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma ACP James Manyama ameeleza kuwa Chanzo kikielezwa kuwa ni Wivu wa mapenzi na baada ya kuwaona Polisi aliamua kujichinja kwa kitu chenye ncha kali ingawa Polisi waliwahi na kukdaka akiwa bada hajajimalizia hivyo yupo Hospitali na akipona anapelekwa mahakamani.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad