AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma wanamshikilia Nehemia Mohamed Kabuto Muha miaka 40 amemuua mke wake kwa kumkata mpanga mke wake aitwaye Adela Ndihagati mwenye umri wa miaka 40 kwa kutenganisha kiwiliwili na viungo vingine.
Akiongea Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma ACP James Manyama ameeleza kuwa Chanzo kikielezwa kuwa ni Wivu wa mapenzi na baada ya kuwaona Polisi aliamua kujichinja kwa kitu chenye ncha kali ingawa Polisi waliwahi na kukdaka akiwa bada hajajimalizia hivyo yupo Hospitali na akipona anapelekwa mahakamani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK