DC Kisarawe aanza na wajawazito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe. Nickson Simon ameendesha zoezi la uchangishaji damu katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe, ikiwa ni sehemu ya kutatua changamoto kubwa ya vifo vinavyotokana na upungufu wa damu inayowakabili akina mama wajawazito na watoto wakati wa kujifungua.
Akizunguma katika zoezi la uchangishaji damu lililoshirikisha wamiliki wa magari ya Forester's National Tanzania na Subaru mkuu wa wilaya Mh. Nickson Simon amewashukuru wachangiaji hao.

Amesema msaada huo unakwenda kuwachachu ya kuwaibua wachangiaji wengine kujitokeza ili kuondokana na tatizo la upungufu wa damu linaloikabili hospitali hiyo.


Kwa upande mwingine baadhi ya washiriki katika zoezi hilo wameahidi kuendelea kujitolea damu kwa wenye uhitaji.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad