Mfanyakazi za Ndani Mbaroni Kwa Tuhuma za Kumuua Boss na Watoto Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Shadrack Kapanga (34) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kuwaua Emilly Mutaboyerwa ambaye ni mama na Damita (13) na Daniela Mutaboyerwa (15) eneo la Masaki, Mtaa wa Maryknol

Kapanga ambaye ni msaidizi wa kazi za ndani alikamatwa Juni 11, 2021 eneo la Magomeni. Vitu alivyokutwa navyo wakati akitoroka ni Simu za Marehemu, Televisheni, King’amuzi cha DSTV na Rimoti

Kamanda Jumanne Muliro amesema upelelezi wa awali umebaini mtuhumiwa alifanya mauaji Juni 9, 2021 kwa kuwapiga kila mmoja kwa wakati tofauti kwa kitu kizito na kuwasababishia kuvuja damu nyingi na kupoteza maisha

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad