AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Yanga leo Juni 27, 2021 wamewapitishwa Baraza jipya la Wadhamini la timu hiyo katika Mkutano Mkuu wa kwenye ukumbi wa DYCC, uliopo Zimbabwe Road, Temeke mkabala na Chuo cha Ualimu pamoja na Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
1️⃣George Mkuchika – Waziri Ofisi ya Rais Ikulu,Kazi Maalum
2️⃣Geofrey Mwambe – Waziri wa Uwekezaji
3️⃣Abass Tarimba – Mbunge wa Kinondoni
4️⃣Mama Fatma Karume – Mke wa Rais wa Kwanza Zanzibar
5️⃣Mwigulu Nchemba – Waziri wa Fedha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK