Serikali imesitisha Mabadiliko ya Mitaala Mipya ya Masomo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga amesema kuwa serikali imesitisha kutumia mabadiliko ya mitaala mipya ya masomo katika shule za msingi na sekondari lengo likiwa ni kupokea maoni ya wadau wa elimu kuhusu maboresho ya mitaala kwa ngazi ya wawali, msingi na sekondari.

Amesema hayo wakati akifungua mkutano wa kupokea maoni ya wadau wa elimu Tanzania kuhusu uboreshwaji wa mitaala.

Mkutano huo wa siku moja umewakutanisha wadau wa elimu hapa nchi ili kutoa maoni ya mitaala ya elimu itakayo endana na sayansi.

Mkutano huo ambao utaibua hoja mbalimbali katika kuboresha mitaala ya elimu Tanzania, kutoka kwa wadau wa elimu kote nchini.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad