China yakataa WHO kuchunguza mara ya 2 chanzo cha COVID-19

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



China imesema haitawaruhusu maafisa wa Shirika la Afya Ulimwenguni, WHO wa kufanya awamu ya pili ya uchunguzi kuhusu chanzo cha maradhi ya COVID-19 kwenye maabara za nchini humo. 
Naibu mkuu wa tume ya kitaifa ya afya nchini China Zeng Yixin amesema hayo hii leo na kuongeza kuwa ni mpango wa WHO umejaa lugha ambayo haiheshimu misingi ya sayansi huku akipuuzilia mbali nadharia kwamba virusi hivyo vilitokea kwenye maabara za Wuhan mji ambako viligunduliwa kwa mara ya kwanza. 

Wameongeza kusema kuwa maabara hizo hazina virusi vinavyoweza kumuathiri mwanadamu moja kwa moja.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad