Hapatoshi...Dimpoz, Diamond Kwenye Wimbo Mmoja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ommy Dimpoz amedokeza ujio wa ngoma mpya ya pamoja na kundi la Blaq Diamond kutoka nchini Afrika Kusini ambao walitamba na smash hit yao ‘’Summer Yo Muthi’’.


Blaq Diamond wapo nchini kukamilisha wimbo huo na kwa nyakati tofauti wote kwa pamoja kupitia insta story zao wameonisha shauku ya ujio huo, huku Dimpoz akiandika ‘’Special vist from my boyz Blaq Diamond, i can’t wait for our joint to drop’’.

Kundi hilo lilianzishwa mwaka 2010 wakati wamekutana shule na kufanikiwa kuachia album 2 ambazo ni Inqola (2017) na Umuthi (2020) mpaka sasa.


Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA

Nafasi za Scholarships Bonyeza HAPA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad