KIMENUKA..Manara Achafua Hali Ya Hewa Kwenye Mitandao, Voice NOTE Yavuja Manara Akimsema Babra Anamchukia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


MSEMAJI wa Simba, Haji Manara Julai 21, 2021 amechafua hali ya hewa baada ya kuvuja sauti yake akimfokea bosi wake, Barbara Jaime Gonzalez kuwa amekuwa akimfatafata na kumtumhumu kuwa anaihujumu timu.

Kwenye sauti hiyo, Manara amesema anasubiri mechi yao na Yanga inayotarajiwa kupigwa Julai 25 mwaka huu ipite kisha ataongea zaidi.

Simba wanakutana na Yanga Jumapili hii katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma katika fainali ya FA

SIKILIZA HAPA:

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad