AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSEMAJI wa Simba, Haji Manara Julai 21, 2021 amechafua hali ya hewa baada ya kuvuja sauti yake akimfokea bosi wake, Barbara Jaime Gonzalez kuwa amekuwa akimfatafata na kumtumhumu kuwa anaihujumu timu.
Kwenye sauti hiyo, Manara amesema anasubiri mechi yao na Yanga inayotarajiwa kupigwa Julai 25 mwaka huu ipite kisha ataongea zaidi.
Simba wanakutana na Yanga Jumapili hii katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma katika fainali ya FA
SIKILIZA HAPA:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK