AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askari Polisi wa Kenya Caroline Kagongo ambaye amekuwa akisakwa kwa wiki mbili kwa tuhuma za kuua Watu wawili wanaodaiwa kuwa Wapenzi wake wa zamani, amekutwa amefariki nyumbani kwa Wazazi wake huko Rift Valley.
Polisi wanasema Caroline alimpiga risasi mwenzake John Ogweno kisha akatorokea eneo la Juja Nairobi ambako nako alimuua Mwanaume mwingine aitwae Peter Ndwiga kwa kumpiga risasi chumbani hotelini.
Ripoti zinasema Caroline amejiua kwa kujipiga risasi akiwa bafuni kwa kutumia bastola ambayo alikuwa amejihami nayo na anayoshukiwa kuitumia kutekeleza muaji hapo awali.
Nafasi za Ajira Serikalini Bonyeza HAPA
Baadhi ya Watu mitandaoni nchini Kenya na maeneo mengine wamewaomba Polisi kufanya uchunguzi zaidi kuhusu chanzo cha kifo cha Polisi mwenzao huyo huku wakidai upo uwezekano kuwa aliuawa na kisha akashikishwa bastola mkononi.
Bado hadi sasa haijaewekwa wazi ukweli wa mfululizo wa matukio anayodaiwa kuyafanya, tunaendelea kufatilia
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK