AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum, amesema kuwa katika dini ya Uislamu kuvishana pete kwa wachumba si utamaduni wa dini hiyo na badala yake jambo lililojema ni kwa wazazi kutaja mahari nyepesi na si kugeuza mahari kama biashara.
NEW GOVERNMENT JOBS CLICK HERE
Kauli hiyo ameitoa leo Julai 6, 2021, kwenye kipindi cha SupaBreakfast MenuMpya, na kuongeza kuwa katika Dini ya Uislamu pia uchumba hautakiwi kukaa muda mrefu ili kuepusha husda na maneno ya watu yanayoweza kupelekea jambo hilo lisitimie.
Tazama Wimbo wa Satan Hapa:"Kwetu sisi waislamu kuvishana pete si tamaduni yetu, jambo lenye kupendeza ni mahari kuwa nyepesi, ikiwa wazazi wanatumia watoto wao kama biashara kwenye suala la mahari au wanachelewesha posa wakiwa na sababu zao ambazo si za msingi hilo jambo halikubaliki," amesema Sheikh Alhad.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK