AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada Neema mkazi wa Dar es Salaam, ametoa simulizi yake namna alivyoanza kuumwa kifua, mafua na mwili kuishiwa nguvu katika wimbi hili la tatu la maambukizi ya Virusi vya Corona hadi baadaye alipokuja kugundulika na ugonjwa huo.
Akizungumza huku akitoa sauti kwa shida kidogo hii leo Julai 12, 2021, kupitia kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio, Neema amesema kuwa dalili za awali alizozipata alihisi pengine ni mzio (Allergy) ama vumbi na akaanza kunywa chai yenye limao ndani yake.
"Baadaye nikaanza kutumia dawa kwa ajili ya kifua, nikaamua kwenda hospitali nikafanyiwa vipimo na muda huo mwili ukaanza kuchoka, nikapimwa kila kitu nikaambiwa nina UTI na nikapewa antibiotic lakini baada ya kurudi nyumbani nikawa napata homa kali," amesimulia Neema
Sehemu ya pili ya simulizi hii ya Neema itaendelea kesho kwenye kipindi cha SupaBreakfast kinachoanza saa 12:00 asubuhi hadi saa 4:00 asubuhi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK