Treni yapata ajali Kidete

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Treni ya abiria imepata ajali katika eneo la Kidete lililopo mpakani mwa wilaya za Kilosa mkoani Morogoro na Mpwapwa mkoani Dodoma.

Habari kutoka mkoani Morogoro zinasema, kwa sasa Kamanda wa polisi wa mkoa huo akiwa ameongozana na maofisa wengine wanaelekea eneo ilipotokea ajali hiyo.

Taarifa za awali zinadai chanzo cha ajali hiyo ni gari kuigonga treni hiyo ya abiria.

Mpaka sasa bado haijfahamika madhara yaliyotokana na ajali hiyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad