AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni Headlines za staa kutokea Marekani, Rihanna ambae time hii anamiliki vichwa vya habari baada ya kutangaza dau linalohitajika kupangisha nyumba yake.
inaripotiwa na vyombo vya habari kwamba staa huyo ameweka wazi dau ama Pesa kwa yoyote atakaehitaji kupangisha nyumba yake ya kifahari ambapo ni dolla za kimarekani Elfu 80 ambazo ni sawa na fedha za kitanzania takribani Milioni 185 kwa mwezi.
Hapo awali staa huyo aliinunua nyumba hiyo kwa thamani ya Bilioni 30 za kitanzania na ina vyumba vitano via kulalia pamoja na mabafu 7.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK