Yanga yaingia mkataba wa bilioni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Klabu ya Yanga imeingia mkataba wa maudhui na Azam Media wenye thamani ya Sh41 bilioni pamoja na kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa kipindi cha miaka 10.
Mkataba huo umesainiwa leo Alhamisi Julai 8, 2021 jijini Dar es Salaam na mkurugenzi mtendaji wa Azam Media, Tido Mhando na mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla.

Kwa mujibu wa mkataba huo, Yanga itapokea Sh200 milioni kwa mwezi kwa msimu ujao, fedha ambayo itakuwa ikiongezeka kila msimu.

Pia, Azam Media itatoa bonasi ya Sh44.4 bilioni kwa miaka 10, endapo klabu hiyo itamaliza ligi ikiwa katika nafasi ya kwanza au ya pili katika kila msimu.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad