Azam FC yamtambulisha Jonas Tiboroha kuwa Mkurugenzi wa mpira

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




UONGOZI wa  Azam FC leo Agosti 16 umemtambulisha Mkurugenzi wa mpira, Jonas Tiboroha.
Akizungumza na Waandishi wa Habari, katika ukumbi wa mikutano ulipo Mzizima, Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdukarim Amin amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kuzidi kujiimarisha katika kila sekta kwa kumpa dili la mwaka mmoja.

"Kwa muda mrefu wengi wamekuwa wakimtambua CEO peke yake pamoja na watendaji wengine lakini leo tunamtambulisha kwenu Mkurugenzi wa Masuala ya Mpira.

"Kazi kubwa ni kuona namna gani tunawez kuwa imara na kuzidi kuboresha timu yetu kwa sababu anakuja kufanya katika kuyafikia," amesema.

Tiboroha amesema kuwa amekubali kufanya kazi hapo kwa kuwa ni moja ya timu bora na yenye mipango makini.

"Nimekubali kuja kufanya kazi hapa kwa kuwa ni moja ya timu bora, kazi ambayo nakuja kuifanya  ipo kwenye mpango kazi," .

 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad