AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kwenye kuchonganishachonganisha mwingine jana kasambaza kabango jamani Gwajima kajiuzulu Ubunge, mlikaona kabango kale? kauongo.. ka wale wachonganishichonganishi haina uhusiano"
"Uhusiano ni kwamba mimi ni aina ya Mtu ambae nikisema hivi leo, nitasema hivyo kesho, kesho kutwa wiki ijayo, nyinyi ambae mnabadilikabadilika na nyie mmebarikiwa kwa aina yenu, mimi sina uwezo huo" ——— asema Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima ambae pia ni Mbunge wa Kawe Dar es salaam. #MillardAyoUPDATES
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK