AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ameingia kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge huku akiwa na lundo la vitabu mbalimbali 11 ikiwamo biblia.
Silaa ameingia kuhojiwa saa 8:43 mchana ndani ya ukumbi wa kamati inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Mwakasaka ambapo baada ya kuingia ukumbini alipuliza kitakasa mikono kwenye kipaza sauti(MIC) na kufungua begi kubwa lililokuwa limejaa vitabu hivyo.
Awali, wakati akiingia katika viwanja vya bunge amekataa kusindikizwa na askari kama ilivyokuwa kwa Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima.
Hata hivyo, baada ya mabishano Silaa alikubali kuongozana na askari hao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK