PICHA: Mbunge Jerry Slaa afika bungeni Kuhojiwa na Kamati ya Bunge ya Maadili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mhe. Jerry Slaa amewasili katika viwanja vya Bunge kuitikia wito wa Spika Ndugai uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma  zinazomkabili ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad