AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MABINGWA wa Afrika, Al Ahly kutoka Misri wamemtambulisha mchezaji wa kimataifa wa Msumbuji Luis Miquissone ambaye wamemsajili kutoka klabu ya Simba.
Ahly wamekamilisha dili hilo baada ya Miquissone baada ya mchezaji huyo kuisaidia Simba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara na kufanikiwa kuifikisha Simba hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK