PICHA: Miquissone Atua Al Ahly Rasmi...Ndoto za Shaffih na Yanga Kwaheri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MABINGWA wa Afrika, Al Ahly kutoka Misri wamemtambulisha mchezaji wa kimataifa wa Msumbuji Luis Miquissone ambaye wamemsajili kutoka klabu ya Simba.


Ahly wamekamilisha dili hilo baada ya Miquissone baada ya mchezaji huyo kuisaidia Simba kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara na kufanikiwa kuifikisha Simba hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad