AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaonekana misumali ya waja imeendelea kumchoma dada yetu, msanii @officialshilole hasa kuhusiana na huu ubonge
Tokea jana baada ya ile show kwenye kilele cha siku ya Mwananchi,maneno yamekuwa mengi mitandaoni kuhusiana na mwili wa shishi,wengine wakimuita kibanda cha M-pesa,wengine tembo mtoto ya vurugu mechi.
Hasa sio kinyonge,Shishi ameamua kuwajibu waja na kuwa wanachokisema ni kumpigia mbuzi gitaa tu, Shishi ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa
“Pesa zangu!
Nakula kwangu!
Naishi Kwangu!
Raha zangu!
Sina mkopo bank
Nina Afya njema kabisaaa
Tumbo ni langu haliniwashi!
Mume wangu hakereki na mwili wangu!
Nyinyi mnawashwa na kuumia nn???
Kama rahisi nenepeni na nyinyi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK