TANESCO: ILI UPATE UMEME KWA MWEZI AGOSTI, NUNUA WA ZAIDI YA TSH. 2,000

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Shirika Umeme Nchini (#TANESCO) limesema Wanachi hawataweza kununua umeme wa chini ya Tsh. 2,000 kwa mwezi huu

Limesema ni ili Wananchi waweze kulipa Kodi ya Majengo ya mwezi Julai (Tsh. 1,000) na Agosti (Tsh. 1,000)

Shirika hilo limefafanua “Tarehe 20 Agosti ni kuanza kwa makato lakini kodi ni kwa ajili ya mwaka huu wa bajeti ambao umeanza mwezi Julai 2021”


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad