AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika Umeme Nchini (#TANESCO) limesema Wanachi hawataweza kununua umeme wa chini ya Tsh. 2,000 kwa mwezi huu
Limesema ni ili Wananchi waweze kulipa Kodi ya Majengo ya mwezi Julai (Tsh. 1,000) na Agosti (Tsh. 1,000)
Shirika hilo limefafanua “Tarehe 20 Agosti ni kuanza kwa makato lakini kodi ni kwa ajili ya mwaka huu wa bajeti ambao umeanza mwezi Julai 2021”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK