Ajali ya Coaster Yaua 6 Mbinga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




BAD NEWS: Watu sita wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Ijumaa, Septemba 17, 2021 katika wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wakati wakisafiri kwa basi aina ya Coaster kutoka Dar es Salaam kuelekea Nyasa kwa shughuli za kifamilia.
Basi hilo lililokodiwa lilipinduka katika mlima Kipololo uliopo wilayani Mbinga wakati likiwa njiani kuelekea Lundo, Nyasa.
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Joseph Konyo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na vifo vya watu sita na ameahidi kutoa taarifa zaidi za tukio hilo leo asubuhi.
 
Kwa upande wake, Mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Mbinga, Dk Shila Mishiuya amekiri kutokea kwa tukio hilo na kwamba wanasubiri miili pamoja na majeruhi wa ajali hiyo.
 
Amesema idadi kamili ya majeruhi bado haijajulikana na kwamba atatoa taarifa kesho baada ya kupokea miili na majeruhi wa ajali hiyo.

OP
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad