Aliyekuwa Anatafuta Mume Afunguka Kumpata Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mrembo mwenye makazi yake mitaa ya buza ,aliye jizolea u maarufu hivi karibuni kwa kutafuta mume wa kumuoa mtaani kwa kuandika bango @bby__nai amefunguka kupata mume kutoka Uingereza.

Kupitia kipindi cha #LeoTena ya clouds FM mwanadada huyo ameeleza kumpata mume huyo kutoka Uingereza ambae tayari wamesha fanya mawasiliano nae na amemuahidi kuwa mwezi December/ mwezi wa 12 atakuja tanzania kwa ajili ya mambo mengine mengi kuhusu uhusiano wao ikiwemo ndoa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad