Beki wa Chelsea Alonso, aeleza sababu za kugoma kupiga magoti kampeni ya ubaguzi wa rangi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Beki wa Kushoto wa Chelsea FC, Marcos Alonso amesema kuwa hatopiga goti tena kama ishara ya kupinga vitendo vya ubaguzi kabla ya mtanange wowote wa ligi kuu ya uingereza, kutokana na kukithiri kwa matukio ya ubaguzi wa rangi kwa wachezaji weusi.


Raia huyo wa hispania anasema badala yake ataelekeza na kunyoosha kidole kwenye beji ya Ligi Kuu, inayosema ‘Hakuna nafasi ya ubaguzi wa rangi’ iliyopo kwenye bega.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad