Msanii Young Lunya Afunguka Kuhusu Kutoka Kimapenzi na Irene Uwoya "Ni Mwanamke Mzuri"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Young Lunya amekanusha madai ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Muigiza Irene Uwoya.

Lunya amesema kama ingekuwa ni kweli angeweka wazi hilo kutokana Irene ni mwanamke mrembo.

"Sijawahi kuwa na mahusiano na Irene Uwoya, labda watu wanahisi itapendeza zaidi mimi nikiwa naye. Unajua yule ni msichana mzuri sana"

"Mimi siwezi kukata kusema sitoki na Irene Uwoya kwa sababu kwani ana tatizo gani?, ni mwanamke mzuri sana, kwa hiyo ingekuwa natoka naye nisingeweza kukataa," amesema Lunya.

Utakumbuka Young Lunya ni miongoni mwa wasanii watatu wanaounda kundi la OMG Tanzania, wengine ni Salmin Swaggz na Conboi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad