Christian Bella "Sio Lazima Ulambe Lips Ndio Utrendi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Zee la Masauti na Founder wa Malaika Band, @bellachristian1 Obama ametoa Darasa kwa wasanii wengine kutumia majina yao vizuri, kuyatumia nje ya kile wanachokifanya ikiwemo uwekezaji nje ya muziki maana kuna leo na kesho, kitu ambacho yeye alikifanya wakati anapata jina na haijawahi msumbua hata hasipofanya show.

Mkali huyo wa Melody aliyeanza kutamba na hits kibao hata kabla ya mapinduzi ya Social Networks ikiwemo "Yako wapi Mapenzi, mwaka 2006" amedai anaweza hasiwepo kwenye trending lakini akawa anafanya poa sawa na wale wanaotrend kwa wakati huo huku akidai kutrend sio lazima ujilambe lips au kujipost post bali kufanya muziki mzuri ambao hata kesho utaishi na watu wataupenda.

Bella kwa sasa amekuja na vijana, @cbomusic_ mbali na Malaika Band ambao anadai kwa asilimia kubwa amewapata wakati yeye ni Judge kwenye mashindano ya BSS msimu uliopita na akaona wana kitu ndani yao na kwasasa wameachia dude linaitwa MARIANA. Pita kwenye Account yao utakutana Bio pale then ishi uenjoy Melody🔥
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad