Huyu Ndio Mwanamke Mwenye Mvuto zaidi Anaishi Duniani Kwa Sasa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Unaambiwa Mwimbaji na Mwigizaji raia Marekani mzaliwa wa Harlem, New York #TeyanaTaylor mwenye umri wa miaka 30 ndie aLietajwa kama Mwanamke mweusi wa kwanza kutajwa na Jarida la #Maxim kama Mwanamke mwenye mvuto zaidi anayeishi.


Maxim ni Jarida la kimataifa la Wanaume ambalo lilianzishwa nchini Uingereza mwaka 1995 na kuweka makao yake jijini New York Marekani toka mwaka 1997, na mpaka sasa ni Jarida ambalo lina Wasomaji wapatao milioni tisa kila mwezi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad