AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Miongoni mwa picha ambazo zimesambaa zaidi wiki iliyopita ni hii ya Jay-Z na Beyonce wakiwa kwenye yacht (Boti) la kifahari wakila maisha kwenye bahari ya Mediterania. Sasa fahamu kwamba Gharama za kuikodi Boti hiyo kwa wiki ni ($4M) zaidi ya TSh. Bilioni 9. SWIPE kuona baadhi ya picha za ndani na muonekano wa nje wa Boti hiyo yenye thamani ya ($400M) zaidi ya TSh. Bilioni 928.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK