Mchekeshaji Mamito "Sipendi Kuvaa Chupi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mchekeshaji wa kipindi cha Churchill, Eunice Wanjiru Njoki anayetambulika wa jina la Mamito, kutokea nchini Kenya, ameweka wazi kuwa hapendelei kuvaa nguo za ndani na sio kitu anachokipenda.


Aliyasema hayo wakati anafanyiwa mahojiano na moja ya Radio Tanzanis.,” Mimi sipendelei kuva nguo za ndani na nikizivaa ni mara moja baada siku nyingi huwa zinaniletea joto” amesema Mamito.


Kupitia mahojiano hayo Mamito amesema anampango wa kufungua duka la chupi zitakuwa na chapa yake.


Mamito alipoulizwa juu ya mahusiano yake amedai kuwa, amekuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 29, toka ameanza kujulikana na wamedumu kwa miaka minne . amesema mwanaume atakae kuwa nae kimahusiano lazima awe vizuri kifedha.


Mchekeshai huyo amesema, yupo Tanzania kwa kazi zake za sana pamoja na kutangaza YouTube yake.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad