MRISHO Gambo "Mama Yangu Alikuwa Muuza Uji Ilala, Baba Yangu Dalali wa Ndizi Sokoni"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa historia Mimi Mrisho Gambo, Marehemu Mama yangu(ambaye ndiye alikuwa nguzo yangu) alikuwa Muuza uji Mchikichini Ilala(Mimi nikiwa msaidizi wake mkuu) na Baba yangu dalali wa ndizi sokoni Kariakoo. Sina ndugu yoyote kiongozi wala sina God Father. Nimeingia kwenye masuala ya Uongozi kwa kudra zake Mungu. Nina zungumza na wewe uliyekata tamaa Kwa kuwa toka umalize chuo hujapata kazi, au unafanya biashara lakini hujafanikiwa. Maisha ni Milima na mabonde, ukiona unakaribia kukata tamaa kwenye maisha jua mafanikio yako yapo karibu. Endelea kuwekeza matumaini yako kwa Mungu maana yeye huwa hawahi wala hachelewi bali ana wakati wake! Hata kwako inawezekana!
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad