Msanii Mpya wa Rayvanny Kuja Kuwa Kiboko ya Ibrah wa Konde Gang

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wote ni mafundi wa muziki, binafsi sina shaka na uwezo wa @macvoice_tz kwasababu nimebahatika kumsikia hata kabla ya kusainiwa NLM. Wapo baadhi ya Mashabiki wanaodai ni kiboko ya @ibraah_tz , kwa upande wangu naona si kweli na ni mapema sana kuwashindanisha, Ibrah ni Ibrah, same to Mac Voice.

Shaka nilionayo ni kuwa, Ukimsikiliza Mac Voice aliyeimba “Mama Jay” na @chegechigunda ,si huyu aliyeimba “NENDA” sababu upande huu amekuwa ni Rayvanny wa pili, Tofauti na Ibrah alipokuwa anatoka na wimbo wake wa kwanza kabisa “Nimekubali” hakusound kama @harmonize_tz wa pili hata kwa projects zilizofwata. Hivyo hawezi kuwa kiboko ya Ibra akiendelea kusound kama Rayvanny, maana kutakuwa hakuna la ziada.

Ukiachilia sauti nzuri aliyonayo, lakini pia Mac Voice ana ngoma kali tokea zamani kama Bamba,Teamo na Mama J. Na hata ngoma zote alizotoa kwenye EP yake hii leo ni kali, kikubwa ni kujitafuta awe Mac kama Mac, kuanzia sauti na Melodies (kujitofautisha na Ray) .By the way ni mwanzo mzuri👏

NB: Hizi ni hisia zangu, na ushindani sio uadui bali kunachangamsha game.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad