Msigwa "Serikali imepunguza Tozo kwa 30%, Kampuni za Simu Nazo zimefanya Punguzo la Asilimia 10"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




“Serikali imeamua kupunguza tozo za miamala ya simu kwa 30%, kampuni za simu nazo baada ya mazungumzo na serikali zimefanya punguzo la asilimia 10, tunaamini hayo yote sasa yataleta nafuu ambayo Watanzania wengi walilalamikia ni mzigo”



“Kumekuwa na maneno mbona huko nyuma hakukuwa na tozo na tulikuwa tunajenga, serikali imeamua kuongeza kasi ya kuimarisha huduma kwa wananchi ndiyo maana Waziri wa Fedha anaiita tozo ya mshikamano,tuweke hii tozo ili matatitizo yatatuliwe” – Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akiongea na wana habari.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad