Muna Love "Usiwablock Maadui Wote, Bakisha Baadhi ya Maadui Ili Wakuone na Wasambaze"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hizi ni kauli 3 za Muna Love kuhusu maisha ya Hustle na mafanikio,

"Usijenge urafiki na starehe wakati shida ni jirani yako, hakuna tuzo ya UVIVU zaidi ya UMASIKINI.❤️🙏 be Strong 💪 pambana ili wakuheshimu siku moja".

Hiii anasema,
'Hawataki kua kwenye Safari yako ya Mafanikio, Lakini wanataka wawe sehemu ya kukutumia wakati wa Mafanikio yako,Be careful 🙏'

Ya Tatu Muna anaongelea Haters,
'Usiwablock maadui wote, bakisha baadhi ya maadui Ili wakuone na wasambaze 👇🏾HUHUDA ZAKO NA WAONE UKUU WA MUNGU JUU YAKO 🙏'. @munalove100


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad