AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hiii-apa list ya washindani wa kike tuzo za #AFRIMA2021katika kipengele cha Msanii bora wa kike kutoka ukanda wa Afrika Mashariki, ambapo wanamuziki wa tatu (3) kutoka nchini Tanzania @officialnandy , @rosa_ree na @officialzuchu wameingia katika orodha hii na categories nyingine mbalimbali.
•@Afrie -I Am An African Girl; (Uganda)
•@Karun -I Know »Kenya
•@MerryZerabruk -Lies (Eritrea)
•@Nandy -Nimekuzoea (Tanzania)
•@NikitaKering -Ex (Kenya)
•@RemaNamakula, DJ Harold & Chike -Loco (Uganda)
•@RosaRee -That Gal (Tanzania)
•@SpiceDiana -Body (Uganda)
•@XENIA -Low Key (Kenya)
•@zuchu -Sukari (Tanzania)
Mbali na kutajwa katika kipengele kimoja cha msanii bora wa kike kutoka Africa mashariki, wanamuziki #Nandy , #Zuchu ,kila mmoja ametajwa katika kipengele tofauti tofauti ,kama kipengele cha “Break Out artist of the year -@officialzuchu » #sukari, “Best African Collaboration” @officialnandy
ft @joeboyofficial »#NumberOne, huku rapper #RosaRee yeye akitajwa katika vipengele viwili zaidi “Best artst ,duo or Group in African Hiphop - @rosa_ree » #Satan na “Best artist in African in reggae, ragga & dancehall - @rosa_ree kupitia wimbo wa » #ThatGal, hivyo kumfanya kuongoza katika wanamuziki wa kike wenye Nominations nyingi zaidi kutoka Tanzania
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK