Kesi Dhidi ya Jacob Zuma ya Rushwa Kunguruma Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kesi ya rushwa inayomhusisha rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma inapaswa kuanza tena leo.



Kesi hiyoimecheleweshwa mara kwa mara, hivi karibuni kwa sababu Bwana Zuma alikuwa amelazwa hospitalini kwa hali ya kiafya isiyojulikana.

Rais huyo wa zamani amekanusha madai hayo, na anasisitiza kuwa maadui zake wa kisiasa wanatumia korti kumlenga. Kukamatwa kwake kulisababisha wiki kadhaa za machafuko nchini humo na kusababisha uporaji wa mali na maafa .

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad