AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kesi ya rushwa inayomhusisha rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma inapaswa kuanza tena leo.
Kesi hiyoimecheleweshwa mara kwa mara, hivi karibuni kwa sababu Bwana Zuma alikuwa amelazwa hospitalini kwa hali ya kiafya isiyojulikana.
Rais huyo wa zamani amekanusha madai hayo, na anasisitiza kuwa maadui zake wa kisiasa wanatumia korti kumlenga. Kukamatwa kwake kulisababisha wiki kadhaa za machafuko nchini humo na kusababisha uporaji wa mali na maafa .
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK