AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maafisa wa Serikali ya Sudan wamesema, watu waliohusika katika jaribio hilo la mapinduzi walijaribu kuchukua udhibiti wa vituo vya Taifa vya redio na televisheni katika mji wa Omdurman, lakini walidhibitiwa nguvu na vikosi hiyyo vya ulinzi na usalama.
Serikali ya Sudan bado haijatangaza watu waliohusika na jaribio hilo la mapinduzi ya kijeshi, ingawa wahusika kadhaa wamekamatwa na wanaendelea kuhojiwa.
Vifaru na wanajeshi kadhaa wameonekana kufanya doria katika miji mbalimbali nchini humo kufuatia jaribio hilo la mapinduzi ya kijeshi lililoshindwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK