Promota PCK Afunguka Ukweli Mchungu "Harmonize Mdogo Sana Huwezi Fanya Nae Show Marekani Ikalipa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Moja ya Promota mkubwa sana kwa sasa hapa Bongo na anayeanda shows za wasanii ndani na kimataifa yani nje ya nchi Pck amedai kuwa msanii kutoka KondeGang Harmonize bado ni msanii chipukizi nchini Marekani.

Akitoa ufafanuzi kuhusu gharama za shows za wasanii wa Africa wanaokwenda kufanya kazi marekani katika kipindi cha Leo Tena ya clouds FM.

PcK amemtaja msanii harmonize kama msanii mdogo/chipukizi kwa kwenda kufanya show marekani akieleza kuwa pia ni mara yake ya kwanza kwa msanii huyo kwenda nchini humo kufanya show.

Hivyo bado ana kazi kubwa ya kupambana ili kufikia ukubwa wa wasanii kama Davido, Burnaboy Diamond Tekno, Yemialade Tiwasavage na Wizkidayo ambao hao wanauwezo wa kufanya show Marekani na pesa ikarudi ila si kwa Harmonize kwa sababu unaweza weka pesa yako ukapata hasara tu.

Nini maoni yako 👇

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad