Baba Manara"Mugalu Hana Levo ya Kuichezea Simba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mzee Sunday Manara ameuzungumzia mchezo wa Simba dhidi ya Yanga uliomalizika kwa Yanga kushinda bao 1-0, jana kwenye Uwanja wa Mkapa.

Mzee Manara ambaye ni baba mzazi wa Haji #Manara amesema: "Simba wanahitaji straika zaidi ya Mugalu, ni mchezaji mzuri lakini kwa levo ya Simba wanatakiwa kuwa na straika ambaye akipata nafasi tatu au nne anafunga moja.

"Mugalu kwa sasa hana levo ya kuichezea Simba. Faida yake ni nguvu, kumiliki mpira lakini tatizo linakuwa kwenye kuichezesha timu na kufunga.

"Kitendo cha kocha kumuacha Bocco nje kisha kuanza na Mugalu ni ile kasumba ya kuwaamini wachezaji wa nje zaidi huku tukiacha wazawa benchi."


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad