AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Kiswahili kimekua kiasi cha kuweza kutumika Kimataifa hali ambayo ilimfanya atake kuongea Kiswahili alipokuwa akihutubia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA)
Akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN, Rais amesema alishindwa kutumia lugha hiyo kwa kuwa katika msafara hawakuwa na Mkalimani na hawakujiandaa kwa hilo, hali iliyomlazimu kutumia Kingereza
Ameongeza kuwa, Kiswahili imekuwa ni lugha ya Biashara kwa Kanda ya Afrika Mashariki na SADC na hata ukienda Ulaya ukimsema mtu kwa Kiswahili ujiangalie maana wanaweza kukujibu kwa Kiswahili
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK