Samia "Nilitamani Kutumia Kiswahili Katika Mkutano wa UN ila Sikuwa na Mkalimani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Kiswahili kimekua kiasi cha kuweza kutumika Kimataifa hali ambayo ilimfanya atake kuongea Kiswahili alipokuwa akihutubia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA)

Akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya UN, Rais amesema alishindwa kutumia lugha hiyo kwa kuwa katika msafara hawakuwa na Mkalimani na hawakujiandaa kwa hilo, hali iliyomlazimu kutumia Kingereza

Ameongeza kuwa, Kiswahili imekuwa ni lugha ya Biashara kwa Kanda ya Afrika Mashariki na SADC na hata ukienda Ulaya ukimsema mtu kwa Kiswahili ujiangalie maana wanaweza kukujibu kwa Kiswahili


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad