Simba Waomba Radhi kwa Mashabiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Klabu ya Simba imewaomba radhi Mashabiki kutokana na usumbufu wanaoupata wakati wa kununua tiketi kwa ajili ya Tamasha la Simba Day.
Simba imesema usumbufu huu unatokana na mfumo wa N Card ambao umeonekana kutokidhi mahitaji na uwezo wa kuhudumia umati mkubwa wa wapenzi wa mpira katika kipindi kifupi.

“Klabu imejaribu mara kadhaa kuzungumza na Wahusika wa mfumo huo ili kutafuta suluhu lakini kadri muda unavyokwenda hali inazidi kuwa mbaya, Mashabiki tunaomba muwe watulivu wakati Club ikiendelea kutafuta suluhisho la kudumu”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad