AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TIMU Yanga ya leo Septemba 25, imefanikiwa , kuwanyanyasa watani wao wa jadi Simba kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mchezo uliochezwa kwenye dimba la Mkapa Dar, Mchezo huo wa ambao unashiria kufungua kwa pazia la ligi kuu Tanzania Bara.
Goli pekee la Yanga limewekwa na Mshambuliaji Fiston Mayele aliyefunga dakika 12, ya mchezo, Yanga imefikia rekodi ya Simba ya kutwaa ngao ya Jamii kwa mara ya sita.
Kikosi cha Wananchi leo kilikuwa na wachezaji Khalid Aucho, Fiston Mayele na Yannic Bangala ambao wameonyesha kiwango bora dhidi ya Simba.
Kwenye mchezo huo Tadeo Lwanga alilimwa Kadi Nyekundu baada ya kumchezea rafu Feisal Salum.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK